Games

6/recent/ticker-posts

Hujarogwa Ila Asidi Ndio Inakutafuna...Usisubiri Ikumalize Huku Unajiangalia.. Chukua Hatua LEO...

    
    Njia 3 Za Kupunguza Tatizo La Kiungulia Kikali Na Kuzidi Kwa Asidi...



ASIDI  (Reflux Acid) Ni Nini ???

Reflux Acid ni hali ya nyongo au asidi ya tumbo kupanda kutoka tumboni inapotakiwa ikae na kuanza kupanda juu kuelekea kwenye koo kupitia bomba la kupitisha chakula. Sasa hali hiyo kukera na kuunguza bomba hilo la chakula... KUMBUKA hiyo asidi sio adui kwenye mwili wetu bali ni muhimu sana kwa matumbo yetu kwa kulainisha na kuvunja vunja vyakula tunavyokula...




BALI shida huja pale tu asidi hiyo badala ya kukaa tumboni tu, huanza kupanda kwenye koo kitu ambacho hakitakiwi na hali hii husababishwa endapo mlango uliopo kati ya bomba la kupitisha chakula linapokutana na tumbo , unapokuwa wazi au umelegea na kuruhusu asidi hiyo kupita au kupenya na kuanza kupanda kooni



Watu wengi wamekua wanasumbuliwa na tatizo hili kwa muda mrefu bila kujua nini wafanye na nini madhara ya kutolitibia tatizo hili



Leo nitakupa njia 3 za kufanya ukiwa nyumbani kwako



Njia hizo ni :


1. Kunywa chai ya tangawizi changanya na asali ndio iwe chai yako au unaweza kunywa chai ya mdalasini + iliji na mchaichai au karafuu hizo zote ni chai nzuri kwa mtu mwenye tatizo la kuzidi kwa asidi






2. Tumia mboga kama mlenda,matembele,mchicha,kabeji, nyanya chungu bamia maana hizi zote zinasaidia kuweka hali ya Alkaline na kupunguza ile asidi




3. Hakikisha unapotaka kulala basi iwe masaa 2 na kuendelea baada ya mlo wako. Pia lalia ubavu wa kushoto na sio wa kulia




Hizo ni baadhi ya njia ambazo zitasaidia kupunguza asidi. Bahati mbaya ni kwamba kupunguza peke yake sio suluhisho la kudumu bali suluhisho la kudumu ni kuhakikisha mlango unaopitisha hiyo asidi kufungwa..



Kuna watu wana hili tatizo miaka mingi sana na wala hawana shida.. lakini kuna kitu ambacho bado watu hawajajua nacho ni kwamba hili tatizo hukua siku hadi siku yaani stage zinapanda kama ilivyo saratani


Stage 1 - ESOPHAGITIS



Esophagitis : Hii ni stage ya mwanzoni ambapo mtu anaanza kupata shida kwenye kumeza kitu na kusababisha maumivu wakati anameza


Stage 2 - ESOPHAGEAL ULCER




Esophageal Ulcer : Hii ni hali ya asidi kuathiri umio (Bomba la kupitisha chakula) na kusababisha bomba hilo kuwa na vidonda kwahiyo mtu anakua anasikia maumivu makali



Stage 3 - ESOPHAGEAL STRICTURE

Stage


Esophageal Stricture : Hapa asidi imekua imeathiri sana njia ya kupitisha chakula na kusababisha kuwa nyembamba na kukaza hivyo hupelekea maumivu wakati wa kumeza



Stage 4 - ASPIRATION PNEUMONIA


Aspiration pneumonia : Hapa ile asidi inakua imesababisha maambukizi au tuseme uharibifu katika mapafu na ndio hapa mtu anapata shida hata kuhema na anahisi ana tatizo la moyo au pumu



Stage 5 - ESOPHAGEAL CANCER



Esophageal cancer : Hii ni hatua ya mwisho ambapo bomba la kupitisha chakula linakua limeshaharibika kabisa na kuwa na vimelea vya saratani ambapo panakuwa hakuna tena tiba zaidi ya kuanza tiba za mionzi. Wachache wanafikiaga huku ambao hupona ila wengi huishia kupata afueni tu na kusubiria lolote litokee maana inategemea hiyo saratani inakua imeshaathiri kwa kiwango gani....






Uonapo dalili zifuatazo basi tafuta tiba ya uhakika maana hiyo ni dalili ya ugonjwa wa asidi / GERD 


1.Kiungulia kikali

2 Kucheua chakula au maji yenye uchungu

3.Maumivu ya kifua

4.Maumivu makali wakati wa kumeza kitu

5.Kuhisi kitu kimekwama kwenye koo

6.Kikohozi kisichoisha

7.Kushindwa kupumua vizuri

8.Mapigo ya moyo kwenda mbio

9.Kuota ndoto za kutisha

10.Kichefuchefu kisichoisha

11.Kuhisi kuchanganyikiwa

12.Kuwa na wasiwasi muda wote

13.Tumbo kuwaka moto

14.Kukosa usingizi na uchovu wa mwili

15.Sauti kushindwa kutoka vizuri au kukwaruza


Tumekua tunasaidia watu wengi wenye tatizo hili hasa wale ambao tatizo lao halijafikia kwenye stage za saratani na leo hii wamekua wanafurahia maisha maana mwanzoni walikua wanaamini kwamba WAMEROGWA


Tumekuja kugundua watu wengi wanaoumwa tatizo hili wameishia kupewa dawa tu lakini hawapewi miko ya huu ugonjwa pamoja na kupatiwa mpangilio maalum (DIET) ya chakula ya huu ugonjwa kitu ambacho ni muhimu sana


Kama huna mpangilio wa chakula na miiko ya huu ugonjwa basi utatumia dawa nyingi lakini hutapona yaani utakuwa unatwanga maji kwenye kinu tu, Kwahiyo hakikisha tiba unayopata iwe na elimu hizo pia...Katika program yetu sisi tunatoa usimamizi maalum, diet maalum na dawa maalum kwa tatizo hili la Asidi (Reflux Acid)


Kama umeteseka na tatizo hili basi karibu tukusaidie kwa kutumia PROGRAM yetu ya tiba asilia na virutubisho lishe ambavyo mbali na kupunguza asidi lakini pia itakusaidia kwenye kurekebisha misuli ya ule mlango ili asidi isipite kurudi juu 




Gharama ya tatizo hili tumelitenga kwa Awamu. Kuna mtu anaweza kuchukua dozi nzima kwa pamoja na mwingine anaweza kutaka kuanza na  nusu dozi . Wote wanaruhusiwa


NB:Yoyote atakayeanza Program yetu mbali na kuanza tiba ila tutamsimamia mpk apone kwa kumpa list ya vitu vya kutumia na vitu gani vya kuacha lakini pia tutampa mazoezi maalum ya kufanya pia..





THAMANI YA DOZI MOJA NI TSH 280,000


NUSU DOZI NI TSH 160,000



________________________________________________________

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇


BONYEZA HAPA KAMA UPO TAYARI KUANZA TIBA LEO ILI UPATE MAELEKEZO MAALUM

a

________________________________________________________


BONYEZA HAPA CHINI ILI UANGALIE VIDEO JINSI UGONJWA HUU UNAVYOTOKEA


👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇




Kama unahitaji ushauri tu basi wasiliana nasi kwa

 

Simu/whatsapp: +255 716 778 844


________________________________________________________


👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

BONYEZA HAPA KAMA UNATAKA KUJIFUNZA ZAIDI KUHUSU UHUSIANO WA UGONJWA HUU WA ASIDI NA VIDONDA VYA TUMBO


________________________________________________________





Post a Comment

0 Comments