




Stage 3 - ESOPHAGEAL STRICTURE
Stage

Aspiration pneumonia : Hapa ile asidi inakua imesababisha maambukizi au tuseme uharibifu katika mapafu na ndio hapa mtu anapata shida hata kuhema na anahisi ana tatizo la moyo au pumu
Stage 5 - ESOPHAGEAL CANCER

Esophageal cancer : Hii ni hatua ya mwisho ambapo bomba la kupitisha chakula linakua limeshaharibika kabisa na kuwa na vimelea vya saratani ambapo panakuwa hakuna tena tiba zaidi ya kuanza tiba za mionzi. Wachache wanafikiaga huku ambao hupona ila wengi huishia kupata afueni tu na kusubiria lolote litokee maana inategemea hiyo saratani inakua imeshaathiri kwa kiwango gani....

1.Kiungulia kikali
2 Kucheua chakula au maji yenye uchungu
3.Maumivu ya kifua
4.Maumivu makali wakati wa kumeza kitu
5.Kuhisi kitu kimekwama kwenye koo
6.Kikohozi kisichoisha
7.Kushindwa kupumua vizuri
8.Mapigo ya moyo kwenda mbio
9.Kuota ndoto za kutisha
10.Kichefuchefu kisichoisha
11.Kuhisi kuchanganyikiwa
12.Kuwa na wasiwasi muda wote
13.Tumbo kuwaka moto
14.Kukosa usingizi na uchovu wa mwili
15.Sauti kushindwa kutoka vizuri au kukwaruza
Tumekua tunasaidia watu wengi wenye tatizo hili hasa wale ambao tatizo lao halijafikia kwenye stage za saratani na leo hii wamekua wanafurahia maisha maana mwanzoni walikua wanaamini kwamba WAMEROGWA
Tumekuja kugundua watu wengi wanaoumwa tatizo hili wameishia kupewa dawa tu lakini hawapewi miko ya huu ugonjwa pamoja na kupatiwa mpangilio maalum (DIET) ya chakula ya huu ugonjwa kitu ambacho ni muhimu sana
Kama huna mpangilio wa chakula na miiko ya huu ugonjwa basi utatumia dawa nyingi lakini hutapona yaani utakuwa unatwanga maji kwenye kinu tu, Kwahiyo hakikisha tiba unayopata iwe na elimu hizo pia...Katika program yetu sisi tunatoa usimamizi maalum, diet maalum na dawa maalum kwa tatizo hili la Asidi (Reflux Acid)
Kama umeteseka na tatizo hili basi karibu tukusaidie kwa kutumia PROGRAM yetu ya tiba asilia na virutubisho lishe ambavyo mbali na kupunguza asidi lakini pia itakusaidia kwenye kurekebisha misuli ya ule mlango ili asidi isipite kurudi juu


THAMANI YA DOZI MOJA NI TSH 280,000
NUSU DOZI NI TSH 160,000
________________________________________________________
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
BONYEZA HAPA KAMA UPO TAYARI KUANZA TIBA LEO ILI UPATE MAELEKEZO MAALUM
a
________________________________________________________
BONYEZA HAPA CHINI ILI UANGALIE VIDEO JINSI UGONJWA HUU UNAVYOTOKEA
Kama unahitaji ushauri tu basi wasiliana nasi kwa
Simu/whatsapp: +255 716 778 844
________________________________________________________
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
________________________________________________________

0 Comments